Breaking News
recent

KAA LA MOTO AIBUKA NA HIP HOP YA KIAFRICA ZAIDI AMSHIRIKISHA GWIJI LA BANGO MZEE NGALA

Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Mombasa nchini Kenya Kaa la Moto amemshirikiana Mkongwe wa mtindo wa Bango nchini humo Mzee Ngala na kusema amefanya hivyo ili watu wajue mziki wa hip hop ni wa rika zote.

Akiongea na Enews Kaa la Moto ambae ameachia wimbo huo alioupa jina la NISIKILIZE MWANANGU amesema ameua kufanya muziki huo kiafrika zaidi kuweza kuufanya muziki mzuri uendelee kuishi.
      KAA LA MOTO AKUBADILISHANA MAWAZO NA MZEE NGALA

Kaa la Moto ambae ametoa nyimbo mfululizo na amesema sababu kubwa ni insparation kutoka kwa mashabiki wake ambao wanapenda kumsikia mara kwa mara akiachia ngoma kali na kutaka ladha tofauti
                 KAA LA MOTO AKIFANYA YAKE
gmbongo tha entertainer

gmbongo tha entertainer

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.