Breaking News
recent

Dkt. Rais Magufuli amelitaka jeshi la polisi nchini kurejesha kitengo cha ulinzi bandarini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amelitaka jeshi las polisi nchini kurejesha kitengo cha ulinzi bandarini na pia eneo lililokuwa linafungwa mita za mafuta litakua linalindwa na polisi.

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, imesema raisi magufuli ametaka jeshi la polisi nchini kurejesha ulinzi kama ilivyokuwa nyakati za nyuma kabla mamalka ya bandari haijaamua kubandilisha mfumo wa kuweka walinzi wake.
          Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
Balozi Ombeni Sefue ameongeza kuwa katika eneo ambalo linafungwa mita za mafuta (Flowmeters),ambalo waziri mkuu alitembelea na kumisimamisha wakala mkuu wa vipimo sasa ni lazima lilindwe na jeshi la polisi.


Aidha katika hatua nyingine Rais Magufuli amefanya uteuzi wa mabalozi watatu ambao Vituo vya uwakilishi kwa mabalozi hawa vitajulikana baada ya taratibu husika za kidiplomasia kukamilika huku akiwateua makamishna wa jeshi la Polisi.
gmbongo tha entertainer

gmbongo tha entertainer

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.